Habari ndugu msomaji, niko tayari kukujuza zaidi mambo unayoyafahamu na yale usiyo yafahamu. Leo katika jua zaidi nina hili, Roald Dahl (1916-1990) ndiye mwanaume anaye tajwa kuwahi kuwa na kazi nzuri zaidi duniani. Hiyu alikuwa mwingereza aliye ajiriwa na serikali ya uingereza kama mpelelezi (spy) lakini kazi yake ilienda mbali zaidi alipotakiwa kuwatongoza wanawake maarufu na wenye pesa kutoka marekani ili aweze kulala nao kwa nia moja tu ya Kuchunguza habari muhimu na za ndani ya serikali ya marekani. Serikali ya uingereza iliamini kuwa ni rahisi kuifahamu zaidi serikali ya marekani kupitia wanawake mashughuli na wenye pesa kwa kuwa wana ukaribu na viongozi wa kiserikali.
Roald Dahl(mwandishi wa stori fupi na riwaya kutoka marekani pia mpelelezi wa chinichini)
Kesho pia ni siku tukutane hapahapa kwenye blog yako pendwa ya johnjbp.blogspot.com tupate kujuzana mambo mengi zaidi. Jua zaidi
by, johnjbp.
No comments:
Post a Comment