Friday, 13 January 2017

AZAM FC YAFANIKIWA KUTWAA KOMBE LA MAPINDUZI 2016

Timu ya wanalambalamba wa chamanzi almaarufu kama AZAM FC imefanikiwa kutwaa ubingwa wa mapinduzi 2016 ikiwa mara yao ya 3 tangu waingie kushiriki kombe hilo.Azam wameifunga simba goli 1 kipindi cha kwanza kupitia kiungo hodari HIMID MAO (mkami).

     

             
   
   

No comments: