Johnjbp.blogspot.com
Tel:255766591143. Advertise here with us
Friday, 13 January 2017
AZAM FC YAFANIKIWA KUTWAA KOMBE LA MAPINDUZI 2016
Timu ya wanalambalamba wa chamanzi almaarufu kama AZAM FC imefanikiwa kutwaa ubingwa wa mapinduzi 2016 ikiwa mara yao ya 3 tangu waingie kushiriki kombe hilo.Azam wameifunga simba goli 1 kipindi cha kwanza kupitia kiungo hodari HIMID MAO (mkami).
No comments:
Post a Comment